Download Game! Currently 71 players and visitors. Last logged in:ZxfSarmaGunkHullupena

Stomp's Blog >> 24491

Back to blogs index
Posted: 08 Aug 2006 16:07 [ permalink ]
"Marehemu namfahamu, Mbalu Yabisa, alikuwa dada yangu. -- - Mnamo mwaka 1982
--- mtoto wangu aitwae Luja d/o Kasongi alianguka ndani ya lambo akafa.
Nilienda kwa wanganga wa kienjeji baada ya mazishi. Waganga wa kienyeji
walinieleza kwamba binti yangu Luja akisukumizwa kwenye lambo na akafa. Mnamo
mwaka 1983 --- mtoto wangu wa kiume aitwae John Kasongi nilikuta analia naye
akanieleza kuwa ametishiwa na shangazi yake (marehemu). Wakati huo alikuwa
amechomwa na mwiba wa Mkongo (goti) nilimpeleka hospital --- nwisho akapona
lakini shangazi yake hakuja kumtazama. Baada ya kuona kuwa anataka kumaliza
watoto wangu nikajua kuwa siku moja ataniua mimi. --- Hivyo niliona kuwa
nihame. Baada ya kuhama ndipo niliamua nimuue mimi mwenyewe. Mnamo tarehe 15
October 1984 saa 8 usiku niliondoka kwangu nilipofika kwa marehemu nilifungua
mlango, nilimkuta amelala nilimvuluta toka kitandani nikamsukuma akajipiga
kwenye kibambaza na kuanguka chini ndipo nikaanza kumniga kooni kwa mikono
mpaka akafa.

Baada ya kuona kuwa amekufa nilimvuta nikampeleka nadani ya choo; baada ya
kuutumbukiza ndani ya choo nilichukua jembe nikaufunika kwa udongo ---
nilipomaliza nilienda nyumbani kwangu."